October 25, 2016

Beki Kurt Zouma amerejea uwanjani na kuichezea Chelsea kwa mara ya kwanza miezi nane.

Zouma aria wa Ufaransa alivunjika mguu upande wa viunganishi via mguu lakini jana ameichezea Chelsea akikitumikia kikosi cha vijana chino ya miaka 23.

Katika kikosi hicho, Zouma mwenye umri wa miaka 21, alicheza vizuri katika mechi hiyo dhidi ya Derby County na kuonyesha sasa yuko safi.


Daktari alitaka acheze kwa dakika 45 tu, kweli akafanikiwa. Maana yake baada ya hapo atakuwa chini ya uangalizi huku akijiandaa kurejea katika kikosi cha Kocha Antonio Conte.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic