October 29, 2016


Wachezaji wa Yanga wmeonyesha furaha kubwa baada ya Kocha Hans van der Pluijm kurejea kazini na kuanza kuinoa Yanga tena.

Kocha huyo aliafanya hivyo leo asubuhi aliporejea kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar, na kuanza kazi tena ikiwa ni saa kadhaa baada ya kuangukiwa na Yanga ili arejee kazini.

Pluijm aliandika barua kujiuzulu baada ya Yanga kumuita Kocha wa Zesco ya Zambia, George Lwandamina na kufanya naye mazzungumza jijini Dar es Salaam.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic