November 14, 2016



Inaonekana kuwa sasa Chelsea wamekuwa wakijuta katakana na kutowapa nafasi ya kutosha washambuliaji wao wawili wa zamani, Romelu Lukaku na Kevin De Bruyne.

Lukaku sasa ni tegemeo la ufungaji Everton huku De Bruyne akisumbua na kikosi cha Man City chino ya Pep Guardiola.

THORGAN HAZARD

Mshambuliaji, Thorgan Hazard anayekipiga katika kikosi cha Borussia Mönchengladbach ya Ujerumani ameyasema hayo.

“Nina uhakika ni hivyo, watakuwa wanajuta kutokana na kushindwa kuwapa nafasi. Sasa wangekuwa msaada mkubwa kwao,” alisema ambaye pia ni raia wa Ubelgiji kama ilivyo kwa De Bruyne na Lukaku.

Wachezaji hao walishindwa kabisa kupata nafasi katika kikosi cha Chelsea chini ya Jose Mourinho.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic