November 25, 2016


Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona, Samuel Eto’o anaweza kufungwa miaka 10 na kama atapatikana na hatia ya ukwepaji kodi nchini Hispania.

Eto'o ambaye ni mmoja wa wachezaji waliochukua tuzo ya Mwanasoka Afrika mara nne. Sasa anakipiga Antalya Spor wa Uturuki.

Mahakama nchini humo imeanza kusikiliza kesi ambayo tayari imeeleza kuda kitita cha cola million 15.1 kwa mshambuliaji huyo kwa madai alikwepa kodi wakati wakati akiichezea Barcelona.


Taarifa zimeeleza, mwakilishi wa Eto’o, Jose Maria Mesalles Mata ndiye anaweza kukutana na adhabu hiyo kama mwanasoka huyo raia wa Cameroon hatatokea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic