December 16, 2016


Mbeya City imeonyesha imepania kujiimarisha vilivyo baada ya kumuongeza kiungo wa zamani wa Yanga, Juma Seif ‘Kijiko’.


Kijiko amejiunga na Mbeya City baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic