December 17, 2016




Yanga imeitwanga JKT Ruvu kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili.

Mshambuliaji Simon Msuva alifunga mabao mawili na moja JKT wakijifunga katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic