February 17, 2017



Ngaya ya Comoro leo wamefanya mazoezi yao ya mwisho kujiandaa na mechi ya mwisho ya Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali dhidi ya Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga.

Kikosi cha Ngaya wamefanya mazoezi hayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar kabla ya mechi ya kesho.

Katika mechi ya kwanza, Yanga iliwavurumisha Ngaya kwa mabao 5-1.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic