March 9, 2017


Pierre-Emerick Aubameyang ni matata sana, maana leo amepiga hat trick na kuiwezesha Borussia Dortmund kuinyoosha Benfica ya Ureno kwa mabao 4-0.

Ushindi huo, jumla unakuwa 4-1 na Dortmund inasonga mbele hadi robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Aubameyang raia wa Gabon alifunga bao la kwanza, la tatu na nne huku la pili likitupiwa na Christian Pulisic.










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic