Cavaliers sasa ina wakati mgumu baada ya kupoteza mchezo wa pili mfululizo wa fainali za NBA.
Golden State Warriors imeshinda kwa pointi 132-113 ikiwa nyumbani hivyo kuandika ushindi wa pili mfululizo.
Stephen Curry na Kevin Durant waliiongoza States kuwa moto na kuizidi kwa kiasi kikubwa Cavs ambayo inaonekana kumtegemea LeBron James.
0 COMMENTS:
Post a Comment