June 5, 2017


Real Madrid sasa ina makombe 12 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya huku mchezaji wake Cristiano Ronaldo akiwa amefikisha manne.

Ronaldo, wachezaji wa Madrid, benchi la ufundi linaloongozwa na Zinedine Zidane, usiku wa kuamkia leo wamekutana kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu jijini Madrid na kufanya sherehe kubwa ya kufurahia ubingwa huo.


Kila upande umekuwa na furaha hasa baada ya ubingwa huo ambao ulionekana ni mgumu kwao.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic