June 10, 2017



Taifa Stars imetoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kuwania kucheza Kombe la Mataifa Afrika.

Mechi hiyo dhidi ya Lesotho imeisha kwa sare ya bao 1-1 na kuwapa advantage wageni hao waliosawazisha.

Nahodha Mbwana Samatta alianza uifungia Stars katika dakika ya 28 lakini Thapelo Tale akaisawazishia Lesotho.


Mechi hiyo ilikuwa ni ya kundi L ambalo timu nyingine ni Uganda na Cape Verde.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic