Bondia wa Australia, Jeff Horn kwa kubeba ubingwa wa WBO uzito wa welter akimtwanga gwiji Manny Pacquiao.
Pacquiao amepoteza pambano hilo la raundi 12 kwa pointi 117-111, 115-113, 115-113 .
Kumekuwa na mjadala katika uamuzi huo kwa madai Pacquiao alifikisha ngumi nyingi zaidi.
Lakini mwisho Horn ambaye alionekana yuko fiti hadi mwisho, ameibuka na ushindi.
0 COMMENTS:
Post a Comment