Mashabiki wa Yanga na Simba wameanza mjadala mrefu kuhusiana na Haruna Niyonzima.
Mara baada ya Niyonzima kuonekana akiwa na jezi nyekundu na nyeupe, mjadala huo ukaanza huku wengi wakionyesha kuwa mashabiki wa Yanga, wakitoa maneno makali.
Mashabiki wa Simba walionekana kuwazodoa wale wa Yanga ambao walionekana wazi wa hasira kutokana na Niyonzima kuvaa jezi hiyo mpya.
ZILIZOSOMWA SANA
-
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa halitakuwa na huruma kwa klabu yoyote itakayotaka kubadili rangi ya nembo ya wadhamini wa...
-
Na George Mganga Dak ya 1, Mechi imeanza katika Uwanja wa taifa Dak ya 2, Masry wanarusha mpira kuelekea langoni mwa Simba, inapigwa...
-
MWENYEKITI wa Kamati ya Ufundi ndani ya Klabu ya Yanga, Dominick Albinus amesema kuwa sababu kubwa iliyowafanya waachane na benchi lao la u...
-
SIKU moja baada ya aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mbatha Mazingiza kutangaza kujiuzulu nafasi yake klabuni hapo kisha kuib...
-
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umefungwa na timu iliyokuwa bora ndani ya Ligi Kuu Bara. Simba ilifungwa bao 1-0 na JKT Tanzania kw...
-
KIUNGO wa Klabu ya Simba, Bernard Morison amesema kuwa maisha ya mpira sio vita bali ni kazi ndani ya uwanja hivyo kila kitu kwakwe anajif...
-
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi kwa kuipandisha Tanzania kuwa kwenye nafasi ya nchi 12 zitakapoleka timu nne katika michuano ...
-
FT: Simba 2-2 Azam FC NGOMA imekamilika Uwanja wa Mkapa leo Februari 7 kwa Simba kugawana pointi mojamoja na wapinzani wao Azam FC. Dakika...
-
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa matokeo ambayo wameyapata leo ndani ya uwanja ni sehemu ya mchezo na imetokana na wachezaji wao kushindwa kut...
-
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekanusha vikali taarifa zinazoenea kwamba wameliondoa jina la winga, Benard Morrison kwenye orodha ya wacheza...