Mashabiki wa Yanga na Simba wameanza mjadala mrefu kuhusiana na Haruna Niyonzima.
Mara baada ya Niyonzima kuonekana akiwa na jezi nyekundu na nyeupe, mjadala huo ukaanza huku wengi wakionyesha kuwa mashabiki wa Yanga, wakitoa maneno makali.
Mashabiki wa Simba walionekana kuwazodoa wale wa Yanga ambao walionekana wazi wa hasira kutokana na Niyonzima kuvaa jezi hiyo mpya.
ZILIZOSOMWA SANA
-
KOCHA Msaidizi wa Simba Hitimana Thiery, raia wa Rwanda mambo bado hayajakuwa sawa kuhusu ishu ya vibali vya kazi. Hitimana alitangazwa kuw...
-
ALIYEWAHI kuwa Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, ambaye kwa sasa ni msemaji wa Yanga, amemtaka kiungo wa Simba, Bernard Morrison amji...
-
-
KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa leo Oktoba 2. Bao l...
-
MATAIRI wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam F imetambulisha ndinga mpya moja matata sana kali mno. Basi hilo jipya la Azam FC wao wanasema ni n...
-
KIBU Dennis ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba sasa yupo huru kuitumikia Simba baada ya suala lake la vibali kukamilika na sasa rasmi ...
-
BAADA ya kupata ushindi leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara mbele ya Geita Gold, Nasreddine Nabi Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa watafanyia ...
-
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa nguvu za wachezaji wengi zilitumika kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba jambo a...
-
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba umesajili wachezaji chuma jambo ambalo linawafanya wawe na ukuta mgumu kama wa Berlin huku eneo la viun...
-
KIPA namba moja wa timu ya Simba ambaye amekusanya cleansheet (Cheza bila kufungwa) mbili ndani ligi amelipa mkopo aliokopeshwa na kipa na...