August 7, 2017



Mashabiki wa Yanga na Simba wameanza mjadala mrefu kuhusiana na Haruna Niyonzima.

Mara baada ya Niyonzima kuonekana akiwa na jezi nyekundu na nyeupe, mjadala huo ukaanza huku wengi wakionyesha kuwa mashabiki wa Yanga, wakitoa maneno makali.

Mashabiki wa Simba walionekana kuwazodoa wale wa Yanga ambao walionekana wazi wa hasira kutokana na Niyonzima kuvaa jezi hiyo mpya.

JIUNGE NA MIMI HAPA

FACEBOOK

SPORTS GEAR & FOOTWEAR

SPORTS GEAR & FOOTWEAR

WADAU WA BLOG HII

ZILIZOSOMWA SANA

index.jpg