February 16, 2018



Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao amehojiwa na Idara ya Uhamiaji Tanzania.

Kidau amehojiwa na idara hiyo jana na taarifa zinaelezwa ni kuwepo kwa hofu kuhusiana na uraia wake.


Msemaji wa Uhamiaji, Ally Mtanga amethibitisha kuhojiwa kwa Kidao na kusema taarifa itatolewa.

Kumekuwa na taarifa za kuwa Kidao ana asili ya Burundi, nchi iliyo jirani Magharibi mwa Tanzania.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic