Mshambuliaji Juma Mahadhi ataikosa mechi ya leo Yanga ikiivaa St Louis ya Shelisheli.
St Louis watakuwa nyumbani na imeelezwa, Mahadhi ameamka hajisikii vizuri.
Hivyo, juhudi za kutaka arejee katika hali yake imeshindikana na atakosekana katika mchezo huo.
Katika mechi ya kwanza, Yanga ilishinda kwa bao 1-0, hivyo sare au ushindi tena, unaweza kuisongesha mbele.
0 COMMENTS:
Post a Comment