March 11, 2018


Taarifa zisizo njema kwa mashabiki wa Manchester City ni kukoseka kwa Mshambuliaji, Sergio Kun Aguero katika mchezo wa ligi dhidi ya Stoke City kesho.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Aguero ameandika kuwa amlumia jana wakati akifanya mazoezi na wachezaji wenzake, hivyo kupelekea goti lake moja kupata majeraha.



Taarifa kutoka kwa madaktari zinasema, mchezaji huyo sasa anaweza akakosekana Uwanjani kwa takribani wiki mbili hivyo anaweza kurejea mwishoni mwa mwezi huu ambapo City itakipiga na Everton.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic