March 2, 2018



Dak ya 3, Simba wanamiliki mpira kuelekea eneo la kati

Dak ya 7, Gooooo, Asante kwasi anafunga bao la kwanza

Dak ya 9, Faulo inachewa kuelekea Simba

Dak ya 11. Mzamiru Yassin anapasia na Mkude eneo la katikati

Dak ya 12, Mzamiru Yassin anachezewa faulo, mpira unapigwa kuelekea Stand 

Dak 13, Mzamiru anaenda nje kwa muda kugangwa 

Dak ya 13, Faulo ya Kichuya inatoka nje, matokeo bado ni 1-0, Simba anaongoza 

Dak ya 14, Faulo tena inapigwa kueleka lango la Stand, anapiga Erasto

Dak ya 15, Mpira unapigwa kueleka Simba baada ya kutoka nje

Dak ya 15. Stand wanapasiana eneo la hatari la Simba, Manula anaoko

Dak ya 16, Simba wanaanza kwa kuapsiana nyuma taratibu, Erasto anampasia Mkude, mpira unaendelea 

Da ya 17, Simba wanarusha mpira, Kwasi anamrushia Mkude, Mkude anampasia Mzamiru, inakuwa faulo 

Dak ya 18, Vitalis Mayanga  wa Stand anapewa kadi ya njano kwa kumfanyia faulo Asante Kwas

Dak ya 19, Goli Kiki langoni, Stand wanaanza  

Dak ya 20, Kichuya anapiga krosi lakini inadakwa kilaini na kipa wa Stand 

Dak ya 21, Seleman Ndikumana anagangwa baada ya kuumia, mpira umesimama kwa muda 

Dak ya 22, Mavugo anacheza fair play baada ya Mwamuzi kusimamisha mpira, ni baada ya Ndikumana kuumia

Dak ya 23, Gooooo, Mavugo anafunga bao la pili kufuatia kazi nzuri ya Mzamiru Yassi

Dak ya 26, Simba wanazidi kumiliki mpira eneo la kati, Mkude anapasiana na Kichuya 

Dak ya 26, Offside ya kwanza kwa Stand United

Dak ya 27, Faulo inapigwa engo ya kushoto kushoto mwa Uwanja na Mkude, mabeki wa Stand wanaokoa 

Dak ya 28, Asante Kwasi anajiinamia baada ya kuumia, mpira umesimama, Simba wanaongoza kwa mabao 2-0

Dak ya 29, Jaribio zuri wanafanya Stand, lakini mpira unatoka nje

Dak ya 32, Kichuya anampasia Erasto, erasto anaipenyeza katikati ya Uwanja

Dak ya 30, Manula anaanza free kiki, lakini mpira unatoka nje

Dak ya 33, Stand wanatoa mpira nje, Kwasi anamrushia Gyan

Dak ya 34, Manula anaanza tena, Simba wakiwa mbele kwa mabao 2-0, Nyoni anampasia manula, Manula anamtafua Kote, Kotei kwake Kapombe 

Dak ya 35, Simba bado wanamiliki mpira, Offsid, Mavugo ameotea 

Dak ya 35, Goool Stand wanapata bao la kwanza, sasa Simba 2-1 Stand United

Dak ya 37, Stand wanaanza sasa kwenye eneo lao la nyuma

Dak ya 40, Goooool Stand wanasawazisha, sasa ni 2-2

Dak ya 42, Kona inapigwa kueleka lango la Stan
Dak ya 43, Kadi nyingine ya njano inatoka, mfungaji Lulambo anapewa baada ya kushika mpira 

Dak ya 44, Simba wanashambulia wakitafuta goli la tatu, lakini mpira unakwenda nje.

Dak ya 45, Dakika mbili zimeongezwa, matokeo ni 2-2 

HalfTime, Kipindi cha kwanza kimemalizika, matokeo ni 2-2.

Dak ya 45, Beki wa Stand ameumia, anatolewa kwenda kugangwa, mpira unarushwa langoni mwa Simba 

Dak ya 46, Stand United wameanza

Dak ya 47, Simba wanaanza kwa Manula kupiga shuti lakini mpira unatoka nje

Dak ya 50, Fair Play inachezwa na Stand 

Dak ya 50, Simba wanaanza kwa kupasiana eneo la nyuma

Dak ya 51, Mpilipili anampasia Mkude, Mkude anapiga kwake Luizio ambaye amechukua nafasi ya Mavugo 

Dak ya 52, Simba wanaanza tena eneo la nyuma baada ya mpira kutoka, anaumiliki Mkude eneo la katikati

Dak ya 55, Kichuya anampasia Nyoni, Kichuyaaaa, kipa anapangua 

Dak ya 56, Stand wanaondoka sasa, lakini unakwenda nje, Simba wanarusha 

Dak ya 57, Free Kiki, Kichuya anapiga kuelekea langoni mwa Stand, Abdul Kassim wa Stand anapewa kadi ya njano

Dak ya 58, Kichuya anapiga lakini Simba wanautoa na inakuwa goli kiki

Dak ya 53, Free Kiki inapigwa kuelekea eneo la Stand baada ya Gyan kufanyiwa faulo, mpira unapigwa lakini unatoka nje

Dak ya 60, Kipa wa Stand anaumia baada ya kubabatizana na beki wake, matokeo ni 2-2

Dak ya 61, Mpira bado umesimama

Dak ya 61, Goooooo, Gyan anaifungia Simba bao la 3, sasa ni 3-2 

Dak ya 64, Stand wanapandisha, faulo, inapigwa kuelekea Simba eneo la 18

Dak ya 65, Unapigwa, Manula anaupangua na mabeki wanauondoa langon

Dak ya 66, Gooooo, Stand wanasawazisha, ni 3-3 sasa 

Dak ya 68, Mchezaji wa Stand ameumia, Mwamuzi amesimamisha mpira kwa muda 

Dak ya 70, Matokeo ni 3-3 

Dak ya 71, Mshambuliaji wa Stand anafanyiwa faulo, mpira umesimama 

Dak ya 71, Mpilipili anapewa kadi ya njano baada ya kucheza mazambi 

Dak ya 74, Simba wanafanya mabadiliko, anaingia Kazimoto, anatoka Mzamiru Yassin 

Dak ya 76, Simba wanapata kona, inapigwa kuelekea Stand 

Dak ya 77, Stand awanatoa mpira nje, unarushwa kuelekea Stand

Dak ya 79, Mpira unaendelea, ni faulo inapigwa kuelekea Stand baada ya Kichuya kuchezewa faulo

Dak ya 78, Kipa wa Stand anapiga free kiki kuelekea Simba

Dak ya 83, Kotei anapasiana na Mwinyi sasa 

Dak ya 84, zimesalia dakika 6 sasa mpira umalizike 

Dak ya 85, Kwasi anapiga krosi lakini mpira unatoka nje 

Dak ya 86, Free kiki inapigwa kuelekea Stand baada ya kwasi kuchezewa faulo 

Dak ya 87, Mpira unatoka nje, Stand wanarusha 

Dak ya 88, Simba wanashambulia lango la Stand, lakini ukuta wao umejaa 

Dak 90, Zimeongezwa dakika 4 pekee mpira umalizike

Dak ya 91, Simba wanajaribu kutafuta bao la 4, mambo magumu 

Dak ya 94, Mchezaji wa Stand ameumia, mpira umesimama

Full Time, Simba SC 3-3 Stand United


9 COMMENTS:

  1. SAFI MKUU UNATUSAIA SANA TULIO KAZINI NA HATUNA REDIO

    ReplyDelete
  2. Lakini Mkuu nadhani katika simu yako waweza kusikiliza radio.

    ReplyDelete
  3. update vizuri basi hizo dakika unatuchanganya tunaokufuatilia

    ReplyDelete
  4. Match ya ajabu kabisa hii.

    ReplyDelete
  5. Jiongeze@Emilly Kadaso

    ReplyDelete
  6. Hili nalo ni gundu kama gundu lingine tu 😣😣
    Mambo gani Thimba ♨ wameanza ..!!

    ReplyDelete
  7. Timu zimecheza vizuri ingawa






    Simba hizi droo hizi ndizo zilizoigharimu timu misimu miwili iliyopita. Sio mbaya kwakuwa bado zipo mechi 10 mbele isipokuwa wachezaji waongeze spidi na kushambulia kwa nguvu na umakini. Wachezaji wanacheza taratibu mno inakuwa rahisi timu pinzani kuzuia move zao.

    ReplyDelete
  8. Mwandishi tunashukuru sana kwa taarifa lakini wachezaji wa Stand hawana majina na pili utaratibu wa zamani ulikuwa mzuri wa upangaji page kuliko huu wa sasa,
    Ahsante.

    ReplyDelete
  9. Simba bila okwi haitembei...bila okwi simba itasubiri sana ubingwa.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic