Manchester United imeendelea kusalia nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu England kwa kuilaza Swansea City FC jumla ya mabao 2-0.
Lukaku aliyeweka rekodi ya kufunga bao la 100 katika EPL leo, alianza kucheka na nyavu kwenye dakika ya 5 tu ya mchezo.
Alexis Sanchez leo ameibuka na kufikisha bao lake la pili akiwa na Manchester United katika dakika ya 20 na mpaka mechi hiyo inamalizika, Man United 2-0 Swansea.
Tazama magoli hayo hapa
0 COMMENTS:
Post a Comment