April 24, 2018


Katika kuelekea msimu wa kombe la Dunia 2018, Kampuni ya MultiChoice Tanzania kupitia king’amuzi chake cha DStv imezindua kampeni mpya ifahamikayo kama DStv ni moto!  Mteja wa DStv sasa anaweza kujiunga na huduma iitwayo “DStv Now” na kutazama vipindi vya DStv wakati wowote mahali popote  ikiwa ni pamoja na kupata fursa ya kuunganisha vifaa vitano (5) zaidi ikiwemo simu ya kiganjani, Tablet, Laptop au Desktop pamoja na Runinga.


Hii inamaanisha watu wa tano (5) tofauti wanaweza kutazama huduma ya DStv kupitia vifaa vitano (5) tofauti kwa wakati mmoja na kwa akaunti moja tu ya malipo ya mwezi!


Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika jijini Dar es Salaa Jana, Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania, Alpha Mria alisema “Wakati tunaelekea kwenye mashindano  makubwa kabisa ya soka Duniani  yaani Kombe la Dunia la FIFA , tunampa fursa mteja kutazama huduma ya DStv kwenye vifaa hadi vitano kwa wakati mmoja







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic