Mtibwa Sugar imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya vijana ya Kombe la Uhai.
Mtibwa Sugar imetinga fainali kwa kuichapa Simba kwa bao 1-0 katika mechi ya fainali ya Kombe la Uhai mjini Dodoma.
Baada ya kufanikiwa kucheza fainali, sasa Mtibwa Sugar inakutana na Stand United katika mechi inayosubiriwa kwa hamu.
0 COMMENTS:
Post a Comment