JUNI 2,2021 kesi ya Bernard Morrison itaanza kusikilizwa upya baada ya CAS kutupilia mbali suala la rufaa ambayo ilikatwa na mchezaji huyo.
Sakata lake na Yanga ni kuhusu mkataba wake ambapo Yanga walikuwa wanadai kwamba nyota huyo alikuwa na kandarasi ya miaka miwili jambo ambalo mchezaji alisema kuwa amesaini dili la miezi sita.
Be professional don't be an idiot,utakwama nasi wasomaji tuna akili
ReplyDeleteUpumbavu mtupu. Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakichezewa akili zao kila uongozi unapovurunda kwenye timu yao. Hapa wanajaribu kuleta hoja ya Morrison na sio ya Carinho? ili kuziba uozo wao.CAS huwa wanavuna taarifa zao muhimu kutoka kwa mwakilishi mama wa FIFA ambao ni TFF.
DeleteUna elimu au maarifa ya mpira au una matusi mdomoni?
DeleteAt least you have something to talk about this season, sio tena habari ya ubingwa coz mshaukatia tamaa
ReplyDeleteLile bao limewatia kiwewe, duniani kweli kuna ving'ang'anizi. Tunasubiri mavuno.
ReplyDeleteMliambiwa mje mezani na malipo yafanyike kwa kufuata utaratibu wa mkataba mkaona ujinga. Tulieni kama mko kwa kinyozi.
Deletehakuna kwenda mezani vitu vya dhuruma...vipi mmeishamuongeza mkataba Fisto na Saido
DeleteYes, Bingo teh teh
ReplyDeleteCalinhos kawakimbia mmemkumbuka morrisson tena, mtakuwa mnaumwa. Sasa wale waandishi takataka watapata cha kujadili
ReplyDeleteHaina shida, lipeni chetu hatutaki zaidi
ReplyDeleteMtasubiri sana kama mbavyosubiri ubingwa, vyote hampati
ReplyDeleteHaki siku zote haipotei, huchelewa tu, kama Young Africa wapo kwenye Haki wataipata tu, ni suala la muda tu
ReplyDeletena kama Morrison yuko kwenye haki ataendelea kuipata kama alivyoipata kabla
DeleteMasikini roho zao. Wanafikiria kukutana nae hiyo siku ya siku na kuwafedhehesha. Hawa mabingwa WA jadi WA kufunguwa kesi za hovyo kufika hadi Sasa kama waliopata wazimu.
ReplyDeleteMganga wao anawaweka pabaya wanarusha mateke katika chumba cha giza kwani ushahidi gani mpya waliokuwa nao Sasa hapo mwanzo hawakywa nao.
ReplyDeleteMtupe na mrejesho siyo mara kimya!!
ReplyDeleteKila huyu jamaa alifunga taarifa za kesi zinaibuka hivi Hawa viongozi wametugeuza sisi ni mavehu
ReplyDeleteimekuwa kawaida kila Morrison akifunga goli ndiyo habari ya maendeleo ya kesi hutokea.. mara ya mwisho tulipopata maaendeleo ya kesi ni pale muda mfupi baada ya kufunga..tukaambiwa kesi imekubaliwa na wameamya kumlipia ada.
ReplyDeleteIngeaaminika zaidi kama ni CAS wanaiandikia Yanga halafu waonwakaposti taarifa hiyo original...hiyo barua mtu yeyote anaweza ichapisha..na kuibandika