Kikosi cha Simba kimeendelea na mazoezi yake katika kambi maalum waliyoweka nchini Uturuki.
Chini ya Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems, Simba wameendelea kujifua kwa kiwango cha juu huku kocha huyo akionyesha amelenga kutengeneza hali ya uimara ya miili.
Wachezaji wa Simba walifanya mazoezi kwenye Uwanja wa milima ya Kartepe nchini Uturuki.
Simba oyee
ReplyDeleteKila nikimuangalia Niyonzima simuoni
ReplyDeleteNiyonzima, Kagere na Eraso Nyoni walikuwa bado kupata viza ndio wamepata viza zao za safari sasa wapo tayari kujiunga na wenzao huko Uturuki.
Delete