July 24, 2018




Kikosi cha Singida United kimeendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao wa 2018-19.

Athanas amejiunga kama na Singida United kama mchezaji huru baada ya kumaliza masomo yake pale Alliance Academy Jijini Mwanza.

Akiwa uwanjani Athanas anacheza nafasi ya mshambuliaji wa kati na pembeni

2 COMMENTS:

  1. huyu mtoto alipaswa kupata timu nje,ana uwezo mkubwa.

    ReplyDelete
  2. huyu mtoto alipaswa kupata timu nje,ana uwezo mkubwa.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic