September 26, 2018



Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Damas Daniel Ndumbaro kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akichukua nafasi ya Susan Kolimba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Aidha, Magufuli amemteua Dkt Faraji Mnyepe kuwa Katibu Mkuu Wizara hiyo ya Mambo ya Nje akichukua nafasi ya Prof Adolf Mkenda.



1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic