September 26, 2018


Mwamuzi Jonesia Rukyaa kuchezesha mechi kati ya Simba na Yanga, Jumapili ijayo Septemba 30 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Aidha, Rukyaa atasaidiana na Ferdinand Chacha pamoja na Mohamed Mkono na mwamuzi wa Mezani atakuwa Elly Sasii.

Waamuzi hao wametanagzwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) zikiwa zimesalia siku 4 kuelekea kipute hicho chenye msisimko wa aina yake Septemba 30 2018.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic