October 7, 2018


Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa viwanja vitaty kutimua vumbi katika mikoa mbalimbali hapa nchini.

Yanga ambao ni mabingwa wa kihistoria kwa kutwaa ubingwa huo mara 27 watakuwa Uwanja wa Taifa kuwakaribisha Mbao FC ya jijini Mwanza.

Mechi zote kwa ujumla hizi hapa

Yanga vs Mbao FC
Biashara United vs Mwadui FC
JKT Tanzania vs Alliance Schools

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic