Mingange ametwaa mikoba ya aliyekuwa kocha mkuu Hans Pluijm na msaidizi wake Juma Mwambusi baada ya uongozi kuamua kuwatimua kwa kile walichoeleza ni matokeo mabaya ya Ligi Kuu Bara.
Mabao ya Azam FC yalifungwa na Tafadzwa Kutinyu aliyecheka na nyavu mara mbili ikiwa ni dakika ya 21 na 54 huku bao la tatu likiwekwa kimiani na Obrey Chirwa dakika ya 69.
Kwa matokeo hayo Azam FC wanatinga hatua ya robo fainali ya kombe la shirikisho ambalo kwa sasa halina bingwa mtetezi kwani Mtibwa Sugar alivuliwa ubingwa na KMC.








Msijifariji hao ni Daraja I
ReplyDeleteDaraja la kwanza wanacheza kwa kutumia matako au mashujaa walikuwa pemium league
DeleteLUGHA JAMANI, MATAKO YANAKUJAJE HAPA? HUTAKI WENGINE WAWE NA MAWAZO YAO TOFAUTI NA YA KWAKO? TUJIFUNZE KUVUMILIANA INAFURAHISHA TUKIWA NA FORUM YA KUSOMA MAWAZO MBALIMBALI YA WATU BILA MATUSI WALA HISIA ZA CHUKI, UJUE WOTE WANAYO HAKI SAWA NA WEWE TU.
DeleteSIFA NI PALE AZAM ITAPOKUTANA NA YANGA NA SIMBA KWENYE LIGI MICHEZO ILIYOBAKI NA ITOKEE AZAM IKASHINDA. HAPO CHECHE ANAWEZA KUJIPA SIFA ANAZOZITAKA. PENDA TUSIPENDE PLUIJM NI KOCHA MZURI HAYA YANAYOTOKEA NI AJALI ZA MAKOCHA.
ReplyDelete