Manchester United ambayo kwa sasa moto wake hauzimwi chini ya kocha wa muda Ole Gunnar Solskjaer itamenyana na Liverpool, Jurgen Klopp ambaye anatafuta kuweka historia ya kuwa kocha wa kwanza kutwaa ubingwa tangu mwaka 1990 wakati ikiwa chini ya Kenny Dalgish.
Kwenye uwanja wa Oldtrafford majira ya saa 11:05 maajabu haya yataanza.
Liverpool ipo nafasi ya pili kwenye msimamo na ina pointi 65 kibindoni huku wapinzani wao Manchester United wakiwa nafasi ya nne na pointi 51 kibindoni.
0 COMMENTS:
Post a Comment