BAADA ya kikosi cha Yanga kupoteza jana mbele ya Mtibwa Sugar sasa kituo kinachofuata ni dhid ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Taifa, Aprili 29.
Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na Mtibwa Uwanja wa Jamhuri, Mrogoro na kufanya ipoteze mchezo wake wa nne kati ya 32.
Timu zote mbili zimepoteza michezo yao ya mwisho kwa kufungwa bao 1-0 ugenini,
Azam FC wamepoteza leo mbele ya Ndanda FC uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
0 COMMENTS:
Post a Comment