HAJI MANARA AITAKA TFF KUMFUNGIA KOCHA YANGA
Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, ameliomba Shirikisho la Soka nchini TFF kumchukulia hatua za kinidhamu Kocha mkuu wa klabu Yanga, Mwinyi Zahera.
Kauli ya Manara imekuja kutokana na baadhi ya kauli zake za kulishutumu Shirikisho hilo na Bodi ya Ligi mara kwa mara juu ya Simba.
Manara amesema kuwa, Zahera amekuwa mara nyingi akiilalamikia bodi hiyo kuitengenezea mazingira Simba ya kuchukua ubingwa wa ligi.
Aidha ameeleza kuwa Zahera amekuwa hana heshima na mpira wa miguu yeye akifungwa anaishutumu TFF, Bodi ya Ligi, Marefa na klabu ya Simba.
Bora afungiwe ni kweli nidham hana
ReplyDeleteAmesahau alivyokuwa anacheza mechi mfululizo ktk uwanja wa taifa na kushinda....mbona simba walikaa kimya...akomae na viwanja vya mikoani...aache kulalamika na visingizio ili wanayanga wamuone kaonewa...uwezo tu hapo
ReplyDeleteManara atakuwa na tatizo la Kisaikolojia kwa sababu kila siku anatoa matamko mabaya juu ya Yanga wakat TFF na Waamuzi wake ndio wanaweka mpango mkakati wa kuidhoofisha Yanga, hali inayotia hasira kwa watu wanaopenda mchezo wa soka nchini
ReplyDeleteHaji Manara ni msemaji asiye na mipaka ya kazi yake....aache kuleta chokochoko na chuki
ReplyDeleteChokochoko na chuki analeta Zahera. Kushutumu timu bila ushahidi inaruhusiwa?
ReplyDeleteKwani ni uongo refa hakupigwa Mbeya mechi dhidi ya Prisons?Hakuna yaliypotokea Morogoro?
Azam wachezaji wao walimzonga mwamuzi adhabu ikaja mara moja.Kufungiwa mechi 3 kwa wachezaji watatu nä faini.
Kwanini kwa Yanga TFF inapata kigugumizi?
Al ulikuwa mmojawapo wa wachangiaji wenye heshima katika blogu hii lakini na wewe siku za karibuni umekuwa shabiki maandazi.
Manara mnafiki
ReplyDelete