April 23, 2019


Mchezaji Kelvin Yondani wa Yanga amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya shilingi 500,000 (laki tano) baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kosa la kumpiga ngumi mchezaji wa Kagera Sugar FC katika mechi hiyo iliyochezwa Aprili 11, 2019 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Adhabu hiyo ni uzingativu wa Kanuni ya 38 (9) ya Ligi Kuu Toleo la 2018 kuhusu Udhibiti kwa Wachezaji.

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic