HAJI MANARA ATAOA TAMKO JUU YA KUHAMIA YANGA Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kufuatia ahadi yake ya kuvaa jezi ya Yanga ikiwa Liverpool atapindua matokeo dhidi ya Barcelona.
Alama za mnafiki ni 3, moja kati ya hizo ni akiahidi hatekelezi. Maapizo mengine huwa ni akili ndogo.
ReplyDeleteAllamal munafiq thalatha..................
DeleteMtume alizitaja na Manara kawa na moja kati ya hizo alama za mnafiki
DeleteYeye ni mwajiriwa anahamiaje jamani?
ReplyDeleteNadhiri ya mpira upp kwenye Uislamu?Hizo fatwa za kijinga kwenye mambo ya lahau acheni haswa kwenye mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani.Mnazungumzia hadithi kwenye mpira??
ReplyDelete