BAADA ya kujiunga na Simba kwa kandarasi ya miaka miwili akitokea Yanga, aliyekuwa nahodha wa Yanga amewashukuru mashabiki na viongozi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe huu:-
"Hakika ilikuwa miaka miwili bora sana kwangu, ndani na nje ya uwanja, Yanga ilikua sehemu ya familia yangu.
"Nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki kwa kuniamini na kuniunga mkono katika kila jambo.
"Ni mengi nimejifunza na nina amini yatanisaidia kunijenga zaidi kama wachezaji, asante sana, hadi wakati mwingine tena, wananchi, asante," amesema Ajibu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe huu:-
"Hakika ilikuwa miaka miwili bora sana kwangu, ndani na nje ya uwanja, Yanga ilikua sehemu ya familia yangu.
"Nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki kwa kuniamini na kuniunga mkono katika kila jambo.
"Ni mengi nimejifunza na nina amini yatanisaidia kunijenga zaidi kama wachezaji, asante sana, hadi wakati mwingine tena, wananchi, asante," amesema Ajibu.
Kila la heri haya ni maisha tu, tunakutakia mafanikio mema
ReplyDeleteKwakuwa karejea kwao alipolelewa na kukuzwa baada ya ugenini ataraji kila la heri
ReplyDeleteWe nenda zako we NI msaliti tulikuwamini tumekupa mpaka unahodha lakin leo unatuacha Kenny mataa
ReplyDeleteMpira haupo hivyo mzee,kila mtu anatazam maslah binafs mwache aende panapo mlipa zaid
DeleteUnahodha kwani unabadili mkataba wa mchezaji?
ReplyDelete