NYOTA wa kikosi cha Alliance , Dickson Ambundo amejiunga na klabu ya Gormahia ya Kenya kwa kandarasi ya mwaka mmoja. Ambundo amejiunga na klabu hiyo kwa mkopo baada ya kumaliza mkataba wake na klabu yake ya Alliance. Kwa msimu wa 2019-20 Ambundo alifunga jumla ya mabao 10 ndani ya TPL.
Hvi huo mkopo unatoka wapi inamaa sasa Ambundo hataripwa mshahara kwa sababu amewakopesha nguvu maana huku allience tayari hatambuliki nani atamlipa na ndo hyo kaenda kwa mkopo cjui ni mkopo upi jamani, kama salehe we ndo umewaajili watu kwa ajili ya taarifa hizi hapa sasa tutakoma ubishi
Amejiunga kwa mkopo baada ya kumaliza mkataba wake!! hili andishi ni zuzu!!
ReplyDeleteHvi huo mkopo unatoka wapi inamaa sasa Ambundo hataripwa mshahara kwa sababu amewakopesha nguvu maana huku allience tayari hatambuliki nani atamlipa na ndo hyo kaenda kwa mkopo cjui ni mkopo upi jamani, kama salehe we ndo umewaajili watu kwa ajili ya taarifa hizi hapa sasa tutakoma ubishi
ReplyDelete