July 4, 2019

1 COMMENTS:

  1. Gadieli Michael ni mbovu sana kwenye kukaba magoli mengi ya Timu ya Taifa na hata mechi za ligi kuu yalikuwa yanapitia upande wake fuatilia mechi za Taifa Stars na za Yanga utakubaliana namimi....Kama mimi ndio nasajili Simba natafuta namba 3 ni mara mia nimchukue Godfrey Walusimbi kuliko Gadieli Michael....yeye (Gadieli) ni mzuri tu kwenye kushambulia....kitu ambacho Mohamed Husein Tshabalala anacho na zaidi

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic