July 4, 2019

BESALA Bokungu mlinzi wa kati kutoka timu ya Groupe Bazano ya Ligi Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo amejiunga na KMC kwa kandarasi ya mwaka mmoja.

Bukungu naye tayari amejiunga na kikosi cha KMC ambacho kipo nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya Kagame inayotarajiwa kuanza Julai 7-21.

Bukungu anaungana na kiungo mkabaji Melly Sivirwa ambaye naye ni raia wa Congo  ambaye amesaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Vital' O ya Burundi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic