July 11, 2019


NAMUNGO FC imeamua kula sahani moja na aliyekuwa mlinda mlango wa Simba, Deogratius Munish ili aongeze nguvu kwenye kikosi chao.

Uongozi wa Namungo FC umeweka bayana kwamba mpango mkubwa ni kupata wachezaji wenye uzoefu ambao wataongeza ushindani.

Kocha wa Namungo FC, Hitimana Thiery amesema kuwa mpango wa kusajili wachezaji wakubwa upo ila lazima wawe na uwezo mkubwa.

“Bado zoezi la usajili linaendelea na mtu ambaye atatufaa ni yule mwenye uwezo, kuhusu Dida hilo bado siwezi kuweka wazi kwa sasa," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic