MUWEKEZAJI wa Simba na mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewj 'Mo' ameandika ujumbe mwingine ambao umezua utata kwa mashabiki na wapenzi wa Simba.
Kupitia
kwenye ukurasa wake wa Instagram, Mohammed Dewji, ‘Mo' :-“Kwenye
uongozi na kwenye maisha , huwa nakaribisha kukosolewa.Lakini siwezi na
sikubali kufanya kazi na mtu anayehujumu malengo , mipango na maslahi mapana ya
taasisi, mtu anayetoboa mtumbwi tunaosafiri nao.”.
Ujumbe huu umepokelwa tofauti na mashabiki wa Simba ambao walikuwa wanahoji kuna tatizo gani ambalo limemkuta mwekezaji huyo kwa sasa.
Kila mtu anajua tatizo sio faru,tatizo no pembe lake
ReplyDeleteKuna watu wanahangaika na kuiombeya simba kurudi kwenye kutembeza bakuli. Hata kuna baadhi ya vyombo vya habari vishaanza kuandika habari za kichochezi zaidi zidi ya Simba kama vile wanafurahia Simba kuingia kwenye matatizo. Huu ni upumbavu kwa chombo kujiegemeza katika habari za kichochezi zaidi kuliko za kimaaendeleo. Gazeti la Nwananchi limeandika simba yakatika vipande vipande. Vipande gani hivyo? Kama si uchochezi kitu gani?
ReplyDeleteHuu moshi unafuka ndani ya chama langu ni mweusii tiii
ReplyDeleteTuache ujinga, Simba tusifanye makosa,umoja ni nguvu.
ReplyDeleteNimeshika shavu nasubili matokeo ya mwisho
ReplyDeleteKaribuni tutembeze bakuli, nenda MO. cc tulishazoea.
ReplyDelete