July 1, 2019

Uongozi wa klabu ya Yanga umemteua Disman Ten kuwa Kaimu katibu mkuu wa hiyo akichukua nafasi hiyo Omary Kaaya aliyemaliza mkataba wake.
Yanga kwa sasa ipo katika mchakato wa kupitia CV za baadhi ya viongozi waliojitokeza kuwania nafasi hiyo ambayo ilikuwa inakaimiwa kwa muda mrefu tangu alipoondoka Charles Mkwasa.
Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Fredrick Mwakalebela alisema ni kweli wamemteua Ten baada ya jana Kaaya kumaliza mkataba wake na kuweka wazi kuwa Ten atakaimu nafasi hiyo kwa siku kumi.
"Anakaimu nafasi hiyo kuanzia leo hadi Julai 10, kwani na yeye mkataba 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic