August 15, 2019


Shirikisho la Soka Barani Ulaya limetangaza wachezaji matatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kiume wa UEFA wa msimu wa 2018/2019.

Wachezaji hao ni Lionel Mess wa Barcelona, Virgil Van Dijk wa Liverpool na Cristiano Ronaldo wa Juventus.

Mshindi atatangazwa August 29 na yatapanga makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (Uefa Champions League)

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic