September 1, 2019

MBUNGE wa Mbeya mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Joseph Mbilinyi, maarufu kama ‘Sugu’ leo tarehe 31, Agosti, 2019, amefunga pingu za maisha na mchumba wake Happiness Msonga.

Ndoa hiyo ambayo ilitangazwa siku kadhaa zilizopita imefungwa leo katika Kanisa Katoliki la Ruanda lililopo jijini Mbeya.

Baadhi ya wabunge wameungana naye katika siku hiyo muhimu akiwemo swahiba wake Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule maarufu kama Professor Jay.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic