September 2, 2019


Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema kuwa hapa duniani hakuna sheria inayomtaka kocha avae namna gani.

kauli ya Zahera imekuja kufuatia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuja na maboresho ya kanuni ambapo mojawapo ni kuhusiana na suala la uvaaji kwa benchi la ufundi ni lazima uwe smati.

Kanuni hiyo kama ilimlenga Zahera ambaye amekuwa akivaa pensi anapoingia uwanjani timu yake inacheza.

"Duniani kote katika soka hakuna sheria ya mavazi kuwa kocha anatakiwa avaaje, vile mimi navaa nakua relaxed,.

"Kuhusu mavazi Klopp ndiye kocha anayevaa hovyo, ila kama wamebadilisha sheria kwa ajili ya Zahera basi mchezo ujao nitavaa suti."

3 COMMENTS:

  1. Hakuna hata mmoja aliekusudia wewe. Ni haki ya TFF kutengeza wanachofikiria kitaleta sura na nidhamu nzuri Kwa timu zetu na hilo halihitajii kupingwa wala hapana aliekusudiwa Ila kuleta sura nzuri ya kupendeza na
    kwengineko huenda ikaigwa na huku imeanzia hapa. Naipongeza TFF Kwa hilo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nahisi nawe ulikuwepo kwenye utungaji wa sheria hiyo ya mavazi

      Delete
  2. Ujuha kwani mavazi nini,mwacheni Zahera avae anavyoona inafaa kwake

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic