October 21, 2019


Kocha Mromani, Aristica Cioaba amerejea tena Tanzania na inaelezwa amekuja kumalizana na Azam FC.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Mromania huyo amereja kuchukua nafasi ya Mrundi, Etienne Ndayiragije ambaye inalezwa anaweza akapewa mkataba wa kuinoa Taifa Stars.

Kabla ya kurejea Tanzania, Cioaba aliwahi kuifundisha Azam FC kabla ya kuachwa kisha kurejea kwao Romania.

Inaelezwa Cioaba anaweza akatambulishwa Azam FC muda wowote kuanzia hivi sasa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic