Fedha hizo zinawekezwa kwa ajili ya kuzidi kutoa morali kwa timu hiyo ili izidi kufanya vema katika mechi za ligi msimu huu.
GSM wameamua kutoa fedha hizo kutokana namna Yanga ilivyoanza ligi kwa kusuasua na inaelezwa dhumuni la kutoa fedha hizo ni kuhakikisha Yanga inatwaa ubingwa msimu huu.
Milioni 50 hizo zinazidi kutia hamasa ndani ya mabingwa hao wa kihistoria kunako Ligi Kuu maana inaonesha hata wadau, mashabiki, wanachama pamoja na wachezaji wamezifurahia.
Dante unaisikia hiyo offer? Huwezi kuondoka offisini bila kulipwa mshahara,lakini posho na marupurupu yakiwa mengi mshahara utasubiri tuu
ReplyDeletekuna mambo mengine unabid unyamaze tuu
ReplyDeleteSwala la Dante lina mkono wa mtu.
ReplyDeleteUonevu mtupu na wizi.
ReplyDelete