November 14, 2019


Muhamasishaji wa timu ya Taifa Stars, Bongo Zozo usiku wa kuamkia leo Novemba 14, 2019 ametua nchini akitoka nchini Uingereza kuiongezea nguvu Taifa Stars dhidi ya Equatorial Guinea Ijumaa saa 1 usiku Uwanja wa Taifa mchezo wa kufuzu Afcon 202.

Akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 3) amesema kuti timu ya Taifa ikifungwa atawadai nauli yake na ametangaza kugawa tiketi 100 kwa Wanawake wajae Uwanjani kuiongezea nguvu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic