December 8, 2019

2 COMMENTS:

  1. Yanga, cut your coat according to your cloath

    ReplyDelete
  2. MASWALI KUIHUSU YANGA

    1. Uchaguzi wa Viongozi wa Yanga....Je, ni kweli kuwa kuna Mamluki kupenyezwa?....Na kweli kwamba hili linahitaji uchunguzi, ushahidi na tafiti kulibaini?
    2. Serikali kutia mkono wake kuipeleleza na kuidhoofisha Yanga, ikiungana na nguvu ya kiuchumi iliyopo Simba...Je, hoja hii ina ukweli ama zimebaki kuwa ni tetesi tu?
    3. Jiulize ni kwanini Klabu ina Wadhamini zaidi ya 4 (SportPesa, Azam TV, Maji ya Afya, GSM Foam, GSM Tanzania & Taifa Gas) lakini kwa misimu miwili mfululizo wachezaji wa Yanga wanalalamikia mishahara? Je, kwanini iwe ni Yanga pekee matatizo haya yanaanikwa hadharani? Je, ni kweli kuwa Vyombo Vya Habari vinatumika kutokana na maslahi ya kiuchumi inayopata kupitia watu wenye nguvu ya kiuchumi na ushawishi mkubwa katika jamii kuichafua Yanga?
    4. Kuwepo kwa Makundi ya wanachama wanaotoka katika makundi yenye maslahi binafsi, na wapiga dili waliokuwepo kutokea msimu uliopita...na kupenyezwa kwa mamluki na wanachama kupitia kwenye kamati lukuki zilizoundwa na Mwenyekiti (ambaye amepoteza support kutoka kwa wapenzi wa Yanga walio sehemu kubwa na wengi wanahoji uhalali wake na moyo wa ushabiki kuwa ni wa Simba)
    5. Wanachama wenye uwezo wa Kifedha waliokuwapo kipindi cha Utawala wa Manji kutotoa Ushirikiano kwa Maslahi ya Yanga kwakuwa Wanaona wanaoongoza Yanga sasa hivi kwamba labda sio waaminifu au hawawakubali kwa namna ambavyo mambo yanavyoendeshwa?
    5. Kuchelewa kwa mfumo wa mabadiliko na uwekezaji, ujenzi wa miundo mbinu kama viwanja vya mazoezi....hapa unajiuliza kwanini ni Yanga tu katika timu hizi 2 kubwa kuna kusuasua? Je, ni jitihada za Serikali ya Awamu ya 5 kuidhoofisha kwa manufaa ya Klabu nyingine ya mtaa wa 2, kwakuwa asilimia kubwa ya Viongozi serikalini wana mapenzi nayo? Au ni udhaifu wa Viongozi wa Yanga? Je, ni kweli kuwa wawekezaji wenye nia ya dhati na walio fedha wanaogopa kuwekeza Yanga kwa kuogopa kuandamwa na vurugu ya Serikali ya Awamu ya 5? Kama ni hivyo, Serikali haioni kuwa hawawatendei haki raia wenye utashi binafsi na mapenzi yao binafsi kwa ustawi wa haki na jamii yenye misingi ya upendo na undugu?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic