February 29, 2020


LIGI Kuu Tanzania Bara kuendelea leo kuchanja mbunga kwa timu 16 kuwa uwanjani kuzisaka pointi tatu muhimu.

Hizi hapa zitakutana leo, mechi zote zitapigwa saa 10:00 isipokuwa mechi ya Yanga na Alliance itapigwa saa 1:00 usiku.
Mwadui v Coastal Union , Kambarage

Singida v Polisi Tanzania, Namfua.

Kagera Sugar v Prisons, Kaitaba

Ruvu v Mbao, Mabatini
Biashara v Mbeya City, Karume.

Mtibwa v Ndanda, Gairo.

JKT Tanzania v Azam, Jamhuri

Yanga v Alliance, Taifa

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic