amesema simba hawamfuata sasa hayo maneno yanatoka wapi
Wanajichanganya kwanza wamesema kuwa ilibaki kidogo kusaini Simba hii inaonesha wazi kuwa aliipenda Simba kama Wanavoipenda wengine halafu eti anasema waache Simba kumsumbua. Mnyama uzishindane nae ina wenyewe wasiobabaika wala utete
Ushuzi mtupu.Yanga wanajitekenya wenyewe halafu wanacheka wenyewe.
Hizo ni habari za waandishi wa magazeti ili kuuza magazeti yap
Sawa ila mbona mnatoa mapovu hivyo. Poleni sana watani mapovu ndio jadi yenu. Nasubiri mtoe povu jingine.
amesema simba hawamfuata sasa hayo maneno yanatoka wapi
ReplyDeleteWanajichanganya kwanza wamesema kuwa ilibaki kidogo kusaini Simba hii inaonesha wazi kuwa aliipenda Simba kama Wanavoipenda wengine halafu eti anasema waache Simba kumsumbua. Mnyama uzishindane nae ina wenyewe wasiobabaika wala utete
ReplyDeleteUshuzi mtupu.Yanga wanajitekenya wenyewe halafu wanacheka wenyewe.
ReplyDeleteHizo ni habari za waandishi wa magazeti ili kuuza magazeti yap
ReplyDeleteSawa ila mbona mnatoa mapovu hivyo. Poleni sana watani mapovu ndio jadi yenu. Nasubiri mtoe povu jingine.
ReplyDelete