March 16, 2019


Ahadi ni deni! Tulikuahidi tutafanya vema katika Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, na bila shaka hatujakuangusha Mkuu.

Kuna Watanzania wenzetu kwa dhamira ovu kwa nchi yao wanahamasishana kutukwamisha.

Ila usijali Mkuu, hao tushawazoea na wataendelea kuwepo siku zote, kama wanabeza Dreamliner Simba ni nani hadi wasitubeze?

Ila kwa uwezo wetu na matakwa ya Mola Mwenyezi hatukuangusha wewe na Watanzania wote wanaoitakia mema nchi yetu Inshaallah 🙏

Do or die

Na Haji S Manara

4 COMMENTS:

  1. Kauli ya mfa maji
    Mara mlizuie basi LA wachezaji wa vita
    Eti yumo zahera
    Kweli mnaogopa mbinu Kali uwanjan za mwinyi zahera
    Kikumbwa chezen mpira xio kutapatapa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kama kocha wa timu ya mchangani na matopemi angekuwa na mbinu kali asingeshindwa kuifunga simba. Kovha wa AS VITA amekili waziwazi kuwa wanaiheshimu Simba sababu ni timu kubwa na nzuri Afrika na sio YANGA. Ndio maana mpk leo mfungaji bora Afrika anatoka Simba katika nchi 54 zenye fowadi zaidi ya milioni 6 katika vilabu zaidi ya milioni 1 Afrika.Nenda klabu yoyote na mji wowote na nchi yoyote afrika utaambiwa Kagere ndie fowadi bora

      Delete
  2. Mhh, ila umeongea kweli ndugu hakuna kama.simba kwa Afrika kwa huu mwaka 2019.

    ReplyDelete
  3. Hakuna kama Simba ktk nini? Kufungwa goli 10 ktk michezo miwili? Punguzeni povu, itakieni mema timu yenu. Usimlazimishe jirani kuwa na uchungu wa msiba wako sawa na wewe

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic