September 6, 2020

 






FT:Yanga 1-1 Prisons
Uwanja wa Mkapa
Kipindi cha pili
Aliyetupia bao kwa Tanzania Prisons ni Lambart Sabiyanka dakika ya 7 na lile la Yanga likipachikwa na Michael Sarpong dakika ya 19

Zinaongezwa dakika 5
Dakika ya 87 Nchimbi anapiga kichwa nje ya lango

Dakika ya 81 Nurdin Chona anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya njano ya kwanza dakika ya 80 na ya pili 81.

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Klabu ya Yanga na Tanzania Prisons Uwanja wa Mkapa ni kipindi cha pili.

Yanga inakwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo ikiwa imetoshana nguvu na Tanzania Prisons.

Prisons ilianza kupachika bao la kwanza dakika ya 7 kupitia kwa Lambrt Sabiyanka ambalo lilisawazishwa dakika ya Michael Sarpong dakika ya 19.

Mchezo ni wa ushindani ambapo mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia mtifuano huu ndani ya Uwanja wa Mkapa

20 COMMENTS:

  1. Chupa mpya mvinyo ule ule. Pamoja na kubebwa. Sare zimeanza.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yanga kabebwa au refa aliwatoa Ihefu mchezoni?

      Delete
    2. Yanga kabebwa au refa aliwatoa Ihefu mchezoni?

      Delete
  2. Share hizoooo zinaanza. Mnyama keshaanza kama desturi analiongoza jahazi

    ReplyDelete
  3. Mpira hauchezwi mdomoni manyumbu fc

    ReplyDelete
  4. Haya sasa kikosi cha 1.3bn kinatokea nishai na kikosi cha laki tano

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wa kumataifa mnafeli wai kukifunga kikosi cha wazawa tena kiikiwa pungufu?

      Delete
  5. Wameanza kuzomea marefa baadae watazomeana

    ReplyDelete
  6. Kikosi cha 1.5B ndio matapishi haya tumeyaona tena kwa mkapa kona 13 sijawahi kuona kandambili aka vyura aka GONGOWAZI

    ReplyDelete
    Replies
    1. Je kile kikosi bora cha mnyama mwaka jana kiliifunga prisons mara ngapi msimu uliopita?

      Delete
    2. Mbumbumbu hawajitambui ndg waache tu

      Delete
  7. Na siku njema huonekana tangu asubuhi. Wachana mashati chali

    ReplyDelete
  8. Washukuru goli la pili ilikuwa chupuchupu dakika za mwisho

    ReplyDelete
  9. Kikosi cha wachezaji wasiochukuliwa kama free agent, wote wamevunjiwa mikataba kwenye timu hatari hatari!

    ReplyDelete
  10. Utopolo washaanza mwendo wao, nafac ya mkiani ndo yenu utopo. Msikatae asili yenu utopolo fc

    ReplyDelete
  11. Yanga
    Ndo kawaida yao. Ubingwa wausubiri 2023.

    ReplyDelete
  12. Hivi kuna tofauti gani ya akina Kipe na Molinga?

    ReplyDelete
  13. Sababu za kufungwa ni mijezi ya zamani, kuhangaika na tweet za Kigwangala na mo, ceo mpya

    ReplyDelete
  14. Ila waliahidi watazindua sijui lini?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic